Lugha Nyingine
Kenya yaidhinisha chonjo za COVID-19 za China
Jana ofisi mmoja alithibitisha kwa Shirika la Habari la China Xinhua kuwa, ili kuimarisha mapambano dhidi ya COVID-19 kwa ajili ya watu wenye hatari kubwa ya kuambukizwa, Kenya imeidhinisha chanjo za kampuni ya Sinopharm ya China.
Kiongozi wa Kikosi Kazi cha Chanjo za COVID-19 ya Wizara ya Afya Bw. Willis Akhwale alisema, Kamati ya dawa na dawa za kulevya ya Shirika la usimamizi wa matibabu la Kenya, imeidhinisha chanjo za kampuni ya Sinopharm. Chanjo za kampuni hiyo imeidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kutumiwa kwa dharura ili kuchangia utoa wa chanjo unaoendelea hivi sasa.
Aina nane maarufu zaidi za maua ya Yunnan hakika kuna moja inayokushangaza zaidi
Korongo wacheza kwenye uwangja wa juu hali ya viumbe yaendelea vizuri mkoani Tibet
Rasilimali ya utamaduni yasukuma mbele ujenzi wa kijiji cha kupendeza cha Luquan mjini Shijiazhuang
Mji wa Zhengzhou warudia katika hali ya kawaida ya uzalishaji na maisha
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma