Shughuli za kuwasha mishumaa zafanyika Vienna kuwakumbuka Watu Waliofariki kwa Virusi vya Korona

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 21, 2021
Shughuli za kuwasha mishumaa zafanyika Vienna kuwakumbuka Watu Waliofariki kwa Virusi vya Korona
Desemba 19, Watu wakitumia mwanga wa mishumaa kuwakumbuka watu walioaga Dunia kutokana na maambukizi ya virusi vya korona huko Vienna, Austria. (Xinhua)

Siku hiyo, shughuli za kuwasha mishumaa kuwakumbuka watu waliofariki kutokana na maambukizi ya virusi vya korona zilifanyika Vienna.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha