Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5.8 latokea Uturuki

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 24, 2022
Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5.8 latokea Uturuki
Picha hii ikionesha nyumba zilizobomoka katika tetemeko la ardhi huko Duzce, Uturuki, Novemba 23.

Idara ya Usimamizi wa Maafa na Hali ya Dharura ya Uturuki ilitangaza tarehe 23 kwamba tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5.9 lilitokea asubuhi mapema ya siku hiyo katika mkoa wa Dizce, kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo, na hadi sasa limesababisha watu 22 kujeruhiwa. (Mpiga picha: Mustafa Kaya/Xinhua)

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha