Lugha Nyingine
Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5.8 latokea Uturuki
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 24, 2022
Idara ya Usimamizi wa Maafa na Hali ya Dharura ya Uturuki ilitangaza tarehe 23 kwamba tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5.9 lilitokea asubuhi mapema ya siku hiyo katika mkoa wa Dizce, kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo, na hadi sasa limesababisha watu 22 kujeruhiwa. (Mpiga picha: Mustafa Kaya/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma