Mlipuko wa Volkano ya Semeru wasababisha watu karibu 2000 kuhamishwa kwa dharura Indonesia

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 06, 2022
Mlipuko wa Volkano ya Semeru wasababisha watu karibu 2000 kuhamishwa kwa dharura Indonesia
Tarehe 5, Desemba, waokoaji wakisaidia wanakijiji kuondoka kutoka Kijiji cha Sapiturang, Wilaya ya Lumajan, Mkoa wa Java Mashariki, Indonesia.

Shirika la Kitaifa la Kukabiliana na Maafa la Indonesia lilisema Tarehe 4, kuwa Volkano ya Semeru katika Mkoa wa Java Mashariki ililipuka kwa nguvu siku hiyo, na idara ya ufuatiliaji ya volcano ya Indonesia imeongeza ngazi ya tahadhari ya volkano hadi ya juu zaidi. Watu karibu 2,000 wa eneo hilo wamehamishwa kwa dharura. (Mpigaji picha: Bayou Novanta/Xinhua)

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha