人民网首页

Habari

Watu wakifanya kazi kwenye Kituo cha Vyombo vya Habari cha mikutano mikuu miwili ijayo ya China ya bunge la umma na baraza la mashauriano ya kisiasa mjini Beijing, China, Februari 27, 2024. (Xinhua/Li Xin)

Kituo cha Vyombo vya Habari cha mikutano mikuu miwili ya China chafunguliwa

BEIJING - Kituo cha Vyombo vya Habari cha mikutano mikuu miwili ya China ya Bunge la Umma la 14 la China na Baraza la 14 la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC) ambayo itaanza Machi 5 na 4, mtawalia, kimefunguliwa rasmi siku ya Jumanne. Kituo hicho kimesema, Waandishi wa habari zaidi ya 3,000 wamejiandikisha kuripoti mikutano hiyo mikuu miwili, wakiwemo zaidi ya 1,000 kutoka Hong Kong, Macao, Taiwan na nje ya nchi.

Iliyopita5 6 7 8 9