Lugha Nyingine
Shilingili ya Tanzania imebakia imara dhidi ya dola ya Kimarekani
SHILINGI imebaki imara dhidi ya dola ya Kimarekani kwa sababu ya uingiaji kutoka kwa sekta ya madini na kupungua kwa wa safari za nje.
PwC ilisema katika bajeti yake ya mwaka 2021/22 kwamba shilingi iliweza kuwa imara kutokana na mauzo ya nje ya sekta ya madini.
Sekta ya madini imekuwa chanzo kikuu cha mapato kupitia mauzo ya nje ambayo imeletea nchi dola bilioni 3.0 mwakani hadi Aprili, ikilinganishwa na bilioni 2.4 Aprili iliyopita na bilioni 1.7 na mwaka 2019 na kusaidia kusawazisha akaunti ya sasa.
Aina nane maarufu zaidi za maua ya Yunnan hakika kuna moja inayokushangaza zaidi
Korongo wacheza kwenye uwangja wa juu hali ya viumbe yaendelea vizuri mkoani Tibet
Rasilimali ya utamaduni yasukuma mbele ujenzi wa kijiji cha kupendeza cha Luquan mjini Shijiazhuang
Mji wa Zhengzhou warudia katika hali ya kawaida ya uzalishaji na maisha
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma