Lugha Nyingine
Total imekabidhi $ 1.9b kwa kampuni za Uingereza, Kichina kwa ajili ya mradi wa uzalishaji wa mafuta
Kampuni ya Ufaransa ya Total imekabidhi mpango wa dola bilioni 1.9 kwa ujenzi wa mradi wake wa uzalishaji wa mafuta wa Lake Albert Tilenga nchini Uganda kwa muungano unaongozwa na kampuni za Uingereza na China, kampuni hiyo ilitangaza.
Mwekezaji anayeongoza katika miradi ya mafuta ya Uganda, imesema ilisaini kandarasi za mikataba mikuu ya Uhandisi, Ununuzi, Ugavi, Ujenzi na Tume (EPSCC) pamoja na vifurushi vitano vya kuchimba visima vya mradi wa Tilenga ulioko katika Wilaya za Nwoya na Buliisa.
Aina nane maarufu zaidi za maua ya Yunnan hakika kuna moja inayokushangaza zaidi
Korongo wacheza kwenye uwangja wa juu hali ya viumbe yaendelea vizuri mkoani Tibet
Rasilimali ya utamaduni yasukuma mbele ujenzi wa kijiji cha kupendeza cha Luquan mjini Shijiazhuang
Mji wa Zhengzhou warudia katika hali ya kawaida ya uzalishaji na maisha
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma