Lugha Nyingine
Uganda Biashara za kidijitali kutozwa ushuru wa 12%
(CRI Online) Juni 17, 2021
Shinikizo kutoka kwa janga la Covid-19 zimeinua uchumi wa kidijitali kama njia salama ya kufanya biashara.
Kwa sababu ya wasiwasi wa kiafya na usalama kutoka kwa coronavirus, shughuli za mtandaoni na biashara zimekuwa kawaida.
Lakini Uganda sasa imejiunga na orodha ya nchi zingine katika kutoza ushuru kwa uchumi wa kidijitali ushuru ya 12% kuanzia Julai 1, 2021.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Aina nane maarufu zaidi za maua ya Yunnan hakika kuna moja inayokushangaza zaidi
Korongo wacheza kwenye uwangja wa juu hali ya viumbe yaendelea vizuri mkoani Tibet
Rasilimali ya utamaduni yasukuma mbele ujenzi wa kijiji cha kupendeza cha Luquan mjini Shijiazhuang
Mji wa Zhengzhou warudia katika hali ya kawaida ya uzalishaji na maisha
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma