Uganda Biashara za kidijitali kutozwa ushuru wa 12%

(CRI Online) Juni 17, 2021

Shinikizo kutoka kwa janga la Covid-19 zimeinua uchumi wa kidijitali kama njia salama ya kufanya biashara.

Kwa sababu ya wasiwasi wa kiafya na usalama kutoka kwa coronavirus, shughuli za mtandaoni na biashara zimekuwa kawaida.

Lakini Uganda sasa imejiunga na orodha ya nchi zingine katika kutoza ushuru kwa uchumi wa kidijitali ushuru ya 12% kuanzia Julai 1, 2021.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha