Lugha Nyingine
Tanzania: Rais Samia afichua mpango wa kuboresha biashara ndogo
Serikali inakusudia kufanya makutano na viongozi wa vikundi vya wajasiriamali ili kupata mpango wa kufanya biashara unaolenga kukuza makusanyo ya ushuru.
Rais Samia alitoa kauli hiyo kwa mkutano na vijana uliofanyika katika viwanja vya Nyamagana jijini Mwanza huku akithibitisha kujitolea kwa serikali kushughulikia changamoto zinazolikabili kundi hilo ikiwa ni pamoja na ukosefu wa ajira.
Mkuu wa Nchi amesema lengo la kubadilisha biashara ndogo ndogo ni kuziboresha ili kuonyesha hali ya uchumi wa kati.
Aina nane maarufu zaidi za maua ya Yunnan hakika kuna moja inayokushangaza zaidi
Korongo wacheza kwenye uwangja wa juu hali ya viumbe yaendelea vizuri mkoani Tibet
Rasilimali ya utamaduni yasukuma mbele ujenzi wa kijiji cha kupendeza cha Luquan mjini Shijiazhuang
Mji wa Zhengzhou warudia katika hali ya kawaida ya uzalishaji na maisha
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma