Lugha Nyingine
Matokeo ya “Ripoti ya nusu mwaka” ya uchumi wa China yavutia watu macho
Tarehe 15, Julai, Idara ya Takwimu ya Kitaifa ilitoa takwimu za uchumi wa nusu ya kwanza ya mwaka huu. Uchumi wa China ulipata matokeo mazuri tena.
Kwenye mkutano kuhusu hali ya uendeleaji wa uchumi uliofanywa na Ofisi ya Habari ya Baraza la Serikali la China, Liu Aihua, msemaji wa Idara ya Takwimu ya Kitaifa ambaye pia ni mkurugenzi wa Ofisi ya Takwimu ya Uchumi wa Kitaifa alisema, uchumi wa nusu ya kwanza ya mwaka huu uliendelea kufufua, uliimarishwa kwa hatua madhubuti na kuendelea vizuri kwa utulivu. Wakati huo huo, ufufukaji wa uchumi wa nchini haujakuwa na uwiano, bado tunatakiwa kufanya jitihada ili kuimarisha msingi wa kufufua hali ya maendeleo.
Aina nane maarufu zaidi za maua ya Yunnan hakika kuna moja inayokushangaza zaidi
Korongo wacheza kwenye uwangja wa juu hali ya viumbe yaendelea vizuri mkoani Tibet
Rasilimali ya utamaduni yasukuma mbele ujenzi wa kijiji cha kupendeza cha Luquan mjini Shijiazhuang
Mji wa Zhengzhou warudia katika hali ya kawaida ya uzalishaji na maisha
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma