Moto wa asili wa Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi ya Beijing wakusanywa Mandeville, Uingereza

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 01, 2022

Moto wa asili wa Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi ya Beijing umekusanywa Februari 28 huko Mandeville nchini Uingereza. Moto huo wa asili kutoka kwenye chimbuko la Michezo ya Olimpiki ya Walemavu utaunganishwa na mioto minane mingine inayotoka maeneo matatu ya mashindano yaani Beijing, Yanqing na Zhanjiakou na kuwa moto rasmi wa Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi ya Beijing.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha