Lugha Nyingine
Mkutano wa saba wa Kamati Kuu ya 19 ya Chama cha Kikomunisti cha China wafanyika
(CRI Online) Oktoba 10, 2022

Mkutano wa saba wa Kamati Kuu ya 19 ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) umefanyika tarehe 9 mjini Beijing, ambapo rais wa China Xi Jinping akiwakilisha Ofisi ya siasa ya kamati kuu ya chama ametoa ripoti ya kazi, na kutoa maelezo juu ya rasimu ya ripoti iliyotolewa na Kamati Kuu ya 19 kwa Mkutano Mkuu wa 20 wa CPC. Wang Huning ametoa maelezo juu ya rasimu ya marekebisho ya Katiba ya Chama cha Kikomunisti cha China.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma



