Rais wa Tanzania ampongeza Xi Jinping kwa kuchaguliwa tena kuwa Katibu Mkuu wa CPC

(CRI Online) Oktoba 25, 2022

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pongeza kwa rais Xi Jinping wa China kwa kuchaguliwa tena kuwa Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha