Xi Jinping na Peng Liyuan wakutana na Mfalme wa Thailand Maha Vajiralongkorn na Malkia Suthida

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 21, 2022

(Picha inatoka Shirika la Habari la China Xinhua.)

Rais Xi Jinping wa China alikutana na Mfalme wa Thailand Maha Vajiralongkorn na Malkia wa Thailand Suthida kwenye Kasiri Kuu ya ufalme ya Bangkok usiku wa tarehe 18, Novemba.

Rais Xi Jinping na mke wake Peng Liyuan walipiga picha pamoja na Mfalme Maha Vajiralongkorn, Malkia Suthida na Binti wa Mfalme Sirivannavari na kufanya mazungumzo kwa ukujujufu .

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha