WHO yatangaza kuwa COVID-19 si dharura tena ya kimataifa ya afya ya umma

(CRI Online) Mei 06, 2023

Shirika la Afya Duniani WHO limesema janga la COVID-19 halichukuliwi tena kama ni dharura ya kimataifa ya afya ya umma (PHIC) jana Ijumaa.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha