Lugha Nyingine
UM: Idadi ya vifo vilivyosababishwa na mvua kubwa DRC yafikia watu 443
Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) siku ya Jumanne imesema, idadi rasmi ya vifo kutokana na mvua kubwa iliyosababisha mafuriko na maporomoko ya udongo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imeongezeka hadi kufikia watu 443, huku mamia ya watu wakijeruhiwa na wengi hawajulikani walipo.
OCHA pia imesema, mahitaji ya dharura kwa sasa ni makazi na chakula kwa manusura, na ukarabati wa barabara na madaraja pia ni muhimu ili waathirika waweze kufikiwa.
Habari Picha: Mandhari ya maeneo yanayozunguka Mto Bahe katika Mji wa Xi'an, China
Katika Picha: Watu wakivuna matunda ya bluberi katika Kijiji cha Wengbao, Mkoa wa Guizhou wa China
Habari Picha: Ndege wakionekana Lhasa, huko Tibet, Kusini Magharibi mwa China
Katika Picha: Tazama mandhari ya Mji wa Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma