

Lugha Nyingine
BRICS yatangaza nchi wanachama wapya sita
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 24, 2023
Mkutano wa 15 wa Viongozi Wakuu wa mfumo wa ushirikiano wa nchi za BRICS unaofanyika mjini Johannesburg, Afrika Kusini umeamua kuzikaribisha nchi za Argentina, Misri, Ethiopia, Iran, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu kuwa wanachama wapya.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma