Rais Xi Jinping wa China akutana wanadiplomasia wa China wanaofanya kazi nje ya nchi

(CRI Online) Januari 01, 2024

Rais Xi Jinping wa China amekutana na wanadiplomasia wa China wanaofanya kazi nchi za kigeni, walioko hapa Beijingvkuhudhuria mkutano wa mwaka huu wa wanadiplomasia wanafanya kazi nje ya nchi, Desemba 29, Mwaka 2023.

Rais Xi ambaye pia ni katibu mkuu wa chama cha kikomunisti cha China na mwenyekiti wa kamati ya kijeshi, alitoa hotuba muhimu kwenye mkutano huo.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha