Lugha Nyingine
Sudan yakanusha madai ya Marekani kuhusu kuzuia ufikiaji wa msaada wa kibinadamu
Sudan imekanusha na kupinga taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ya kuishutumu serikali ya Sudan kuzuia ufikiaji wa msaada wa kibinadamu kwa waathirika wa mgogoro wa Sudan.
Katika taarifa yake, Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imesema madai ya Marekani dhidi ya Jeshi la Sudan (SAF) na Serikali ya Sudan kuhusiana na misaada ya kibinadamu na shughuli za kiraia ni "shutuma za uongo”.
Taarifa ya Sudan imesisitiza ahadi ya serikali ya Sudan kwa Azimio la Jeddah kuhusu kulinda raia, lililosainiwa tarehe 11 mwezi Mei 2023.
Sherehe ya "Kuonyesha Buddha" yafanyika katika Hekalu Kaskazini Magharibi mwa China
Watu wa kabila la Wagelao washerehekea Sikukuu ya Maolong huko Guizhou, Kusini Magharibi mwa China
Wakulima kote China wawa na pilika nyingi za uzalishaji wa kilimo wakati Siku ya Yushui yakiwadia
Ndege C919 ya China yashiriki mazoezi ya Maonyesho ya Anga ya Singapore
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma