

Lugha Nyingine
Nchi tatu za Afrika Magharibi zajiondoa rasmi ECOWAS
(CRI Online) Januari 31, 2025
Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imetoa taarifa kuwa, nchi tatu za Afrika Magharibi, Burkina Faso, Mali na Niger, zimejiondoa rasmi kutoka jumuiya hiyo siku ya Jumatano.
ECOWAS iliziwekea vikwazo nchi hizo tatu baada ya mapinduzi ya kijeshi kutokea katika nchi hizo.
ECOWAS ilikuwa na nchi wanachama 15 kabla ya Mali, Niger na Burkina Faso kujitoa.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma