人民网首页

Habari

Picha hii iliyopigwa Oktoba 20 ikionyesha muonekano wa mji wa Kazan wa Russia.

Mvuto wa Kazan, Mji wa Russia mwenyeji wa Mkutano wa Viongozi wa BRICS 2024

Kazan ni mji mkuu wa Jamhuri ya Tatarstan ambayo iko chini ya Shirikisho la Russia. Kuna maeneo mengi ya kupendeza katika mji huu, maarufu zaidi miongoni mwa maeneo hayo ni Kazan Kremlin.

“Kazi ya uongozi ya China inahimiza mfumo wa ushirikiano kati ya nchi za BRICS kuendeleza”—Mahojiano na mtaalamu wa Afrika Kusini Roboji wa masuala ya BRICS

"China inafanya kazi muhimu katika kuhimiza kukamilisha mfumo wa ushirikiano wa BRICS siku hadi siku, kutetea usawa na haki na ushirikiano wa pande nyingi. Kazi ya uongozi ya China inahimiza kuendeleza mfumo wa ushirikiano kati ya nchi za BRICS.

China yakaribisha washirika wengi zaidi wa nchi za Kusini kujiunga na BRICS

Mkurugenzi wa Ofisi ya mambo ya nje ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China Bw. Wang Yi hivi karibuni alisema, China inakaribisha washiriki wengi zaidi wenye nia moja kutoka nchi za Kusini kujiunga na familia ya BRICS.

Wang Yi atoa wito kwa nchi za BRICS kushughulikia kwa pamoja matishio dhidi ya usalama

Mkurugenzi wa Ofisi ya Kamati ya mambo ya nje ya China, Bw. Wang Yi Jumatano alitoa wito kwa nchi za BRICS kushikana mikono katika kushughulikia matishio dhidi ya usalama katika mkutano wa ngazi ya juu.

上一页1 2 3 4 5 下一页