Mkutano wa mawasiliano ya simu wa kimataifa wafunguliwa Barcelona

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 30, 2021
Mkutano wa mawasiliano ya simu wa kimataifa wafunguliwa Barcelona
Tarehe 28, Juni, watu wanatembelea maonyesho ya kampuni ya Huwei kwenye mkutano wa mawasiliano ya simu wa kimataifa unaofanyika Barcelona, Hispania.
(Picha zinatoka: Tovuti ya Shirika la Habari la Xinhua)

Tarehe 28, Juni, huko Barcelona, Hispania, mkutano wa mawasiliano ya simu wa kimataifa wa mwaka 2021 umefunguliwa. Huu ni mkutano mkubwa zaidi wa sekta ya mawasiliano ya habari, mwaka 2019 mkutano huo ulivutia makampuni zaidi ya elfu 2 na watazamaji laki 1.1 hivi. Kwa kulingana na hali ya miaka iliyopita, mwaka huu washiriki wa mkutano wa mawasiliano ya simu wa kimataifa wamepungua kidhahiri.

(Wahariri wa tovuti:Li Yidan,Zhao Jian)

Picha