Lugha Nyingine
Mkutano wa mawasiliano ya simu wa kimataifa wafunguliwa Barcelona
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 30, 2021
Tarehe 28, Juni, huko Barcelona, Hispania, mkutano wa mawasiliano ya simu wa kimataifa wa mwaka 2021 umefunguliwa. Huu ni mkutano mkubwa zaidi wa sekta ya mawasiliano ya habari, mwaka 2019 mkutano huo ulivutia makampuni zaidi ya elfu 2 na watazamaji laki 1.1 hivi. Kwa kulingana na hali ya miaka iliyopita, mwaka huu washiriki wa mkutano wa mawasiliano ya simu wa kimataifa wamepungua kidhahiri.
(Wahariri wa tovuti:Li Yidan,Zhao Jian)
Aina nane maarufu zaidi za maua ya Yunnan hakika kuna moja inayokushangaza zaidi
Korongo wacheza kwenye uwangja wa juu hali ya viumbe yaendelea vizuri mkoani Tibet
Rasilimali ya utamaduni yasukuma mbele ujenzi wa kijiji cha kupendeza cha Luquan mjini Shijiazhuang
Mji wa Zhengzhou warudia katika hali ya kawaida ya uzalishaji na maisha
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma