Lugha Nyingine
Mabadiliko ya muundo wa shughuli za benki za Ulaya yakabiliwa na changamoto mfululizo
Tarehe 28, Juni, watu wanapita sanamu ya Euro huko Frankfurt, Ujerumani. (Picha zinatoka: Tovuti ya Shirika la Habari la Xinhua) |
Tokea mlipuko wa maambukizi ya corona , chini ya uungaji mkono wa sera ya fedha ya benki kuu ya Ulaya,benki mbalimbali za Ulaya zikipitia kuongeza mikopo kwa kuhakikisha mzunguko wa uchumi halisi , lakini kiwango cha faida bado kiko chini, migongano bado iko wazi katika hali ya kuwepo kwa matawi mengi ya benki, na upungufu wa uwezo wa kidigitali. Kwenye mkutano wa mambo ya fedha ya Euro wa mwaka 2021 uliofanyika tarehe 28 huko Frankfurt, wanabenki wengiwanaona kuwa, benki za Ulaya zinazobadilisha muundo wa shughuli zao bado zinakabiliwa na changamoto za kidigitali, maendeleo endelevu na matatizo mengine mfululizo, wanatoa wito wa kuharakisha kujenga Umoja wa Sekta ya Benki ya Ulaya na Umoja wa Soko la Raslimali.
Aina nane maarufu zaidi za maua ya Yunnan hakika kuna moja inayokushangaza zaidi
Korongo wacheza kwenye uwangja wa juu hali ya viumbe yaendelea vizuri mkoani Tibet
Rasilimali ya utamaduni yasukuma mbele ujenzi wa kijiji cha kupendeza cha Luquan mjini Shijiazhuang
Mji wa Zhengzhou warudia katika hali ya kawaida ya uzalishaji na maisha
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma