Lugha Nyingine
China yafaulu kurusha satelaiti E ya Tianlian No.1
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 13, 2021
(Picha inatoka Tovuti ya Gazeti la China Xinhua)
Saa 5:53 usiku wa Tarehe 6, Julai, China imefaulu kurusha satelaiti E ya Tianlian No.1 kwa maroketi ya C ya Changzheng No.3 kwenye obiti iliyopangiwa kwenye anga ya juu kutoka kituo cha kurusha satelaiti ya Xichang. Kazi hii ya kurusha satelaiti imefanikiwa vizuri.
(Wahariri wa tovuti:Li Yidan,Zhao Jian)
Aina nane maarufu zaidi za maua ya Yunnan hakika kuna moja inayokushangaza zaidi
Korongo wacheza kwenye uwangja wa juu hali ya viumbe yaendelea vizuri mkoani Tibet
Rasilimali ya utamaduni yasukuma mbele ujenzi wa kijiji cha kupendeza cha Luquan mjini Shijiazhuang
Mji wa Zhengzhou warudia katika hali ya kawaida ya uzalishaji na maisha
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma