Jumba la Makumbusho la “Baraza la Humboldt” lafunguliwa kukaribisha watazamaji huko Berlin

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 22, 2021
Jumba la Makumbusho la “Baraza la Humboldt” lafunguliwa kukaribisha watazamaji huko Berlin
Hii ni hali ya nje ya Jumba la Makumbusho la "Baraza la Humboldt", picha iliyopigwa tarehe 19, Julai huko Berlin, mji mkuu wa Ujerumani.
(Picha zinatoka tovuti ya Shirika la Habari la China Xinhua.)

Jumba la Makumbusho la "Baraza la Humboldt" la Berlin lenye mada ya sanaa na sayansi lilifunguliwa rasmi na kukaribisha watazamaji tarehe 20, Julai.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha