Lugha Nyingine
Wilaya ya Wuxi, mkoani Chongqing: kilimo cha viazi chapewa “mabawa ya kiteknolojia” (3)
Tarehe 2, Septemba, katika kituo cha kupanda viazi vilivyotolewa sumu cha wilaya ya Wuxi, fundi anarekodi joto la chumba cha kuhifadhi chupa za kuwekea miche ya majaribio ya viazi vilivyotolewa sumu. Katika miaka hii ya karibuni, wilaya ya Wuxi mkoani Chongqing inatumia nguvu kubwa kuendeleza kilimo cha viazi, kwa kupitia kuingiza aina mpya ya viazi na kueneza uzalishaji wa viaizi vilivyotolewa sumu, ubora na kiwango vya utoaji wa viazi vimeongezeka kwa ufanisi. Picha ilipigwa na mwandishi wa habari wa Shirika la Habari la China Xinhua, Huangwei.
Bustani ya Mapumziko ya Kimataifa ya Beijing yazinduliwa kwa majaribio
Aina nane maarufu zaidi za maua ya Yunnan hakika kuna moja inayokushangaza zaidi
Korongo wacheza kwenye uwangja wa juu hali ya viumbe yaendelea vizuri mkoani Tibet
Rasilimali ya utamaduni yasukuma mbele ujenzi wa kijiji cha kupendeza cha Luquan mjini Shijiazhuang
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma