Sarafu za kumbukumbu za Mwaka wa Tiger zatazamiwa kutolewa ! (6)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 18, 2021
Sarafu za kumbukumbu za Mwaka wa Tiger zatazamiwa kutolewa !

Mnamo Novemba 18, Benki ya Umma ya China inatazamiwa kutoa seti ya Sarafu za Kumbukumbu za Mwaka wa 2022, ambao ni Mwaka wa Tiger kwa kalenda ya kilimo ya China.

 Seti hiyo ina sarafu za kumbukumbu 13 za dhahabu na za fedha, zikiwemo 8 za dhahabu na 5 za fedha, ambazo zote ni sarafu halali za Jamhuri ya Watu wa China.

Kama ilivyoelezwa, pande mbili za mbele na nyuma za sarafu zimechongwa nembo ya taifa ya Jamhuri ya Watu wa China, pamoja na mapambo ya baraka ya jadi jina la nchi, na nambari ya mwaka.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha