

Lugha Nyingine
Ushirikiano kati ya China na Afrika katika sekta ya Nishati safi wasaidia marekebisho ya muundo wa uchumi wa Afrika
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 29, 2021
Hivi sasa nchi mbalimbali duniani zinapambana na mabadiliko ya hali ya hewa, na nchi za Afrika zinakabiliwa pia na somo la kurekebisha muundo wa uchumi ili kupunguza uchafuzi kwa mazingira. Ushirikiano kati ya China na Afrika katika sekta ya nishati safi umekuwa na historia ya miongo kadhaa. Katika miaka ya hivi karibuni, vituo vingi vya kuzalisha umeme vinavyowekezwa au kusaidiwa kifedha na China vimezinduliwa au vitazinduliwa.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma