Kusherehekea Mwaka Mpya wa Jadi wa Chuimilia wa China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Februari 07, 2022
Kusherehekea Mwaka Mpya wa Jadi wa Chuimilia wa China
(Picha inatoka tovuti ya Shirika la Habari la China Xinhua.)

Katika kipindi cha mwaka mpya wa jadi wa China kwa kalenda ya kilimo ya China, Wachina wamesherehekea sikukuu hiyo kwa njia mbalimbali nchini kote China, wakifuata kanuni za kudhibiti na kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya korona.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha