

Lugha Nyingine
Timu ya China yashinda nafasi tatu za mbele za mchezo wa kuteleza kwenye theluji kwa ubao kwa wanaume katika Michezo ya Paralimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 08, 2022
Tarehe 7, Machi, fainali ya mchezo wa mbio za kuteleza kwenye theluji kwa ubao na kupita vizuizi wa kiwango cha UL ilifanyika. Mwishowe mwanamchezo wa Timu ya China Ji Lijia alinyakua ubingwa, Wang Pengyao alipata nafasi ya pili, na Zhu Yonggang alipata nafasi ya tatu.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma