

Lugha Nyingine
Watu 6 wauawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa California
(CRI Online) April 05, 2022
Takriban watu 6 wameuawa na wengine 9 kujeruhiwa katika tukio la ufyatuaji risasi huko Sacramento, mji mkuu wa California, nchini Marekani tarehe 3 alfajiri kwa saa za huko.
Polisi wa eneo hilo wamesema,mtu mmoja asiyejulikana alifyatua risasi kwa watu nje ya mgahawa mmoja katikati ya mji huo, na mshukiwa huyo alitoroka baada ya kufanya shambulizi hilo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma