Habari Picha: Tamasha kubwa la Malta lafanyika huko Valleta

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 23, 2022
Habari Picha: Tamasha kubwa la Malta lafanyika huko Valleta
Picha iliyopigwa ikionyesha wanawake wawili wakiwa wamevalia mavazi katika Tamasha Kubwa la Malta huko Valletta, Malta, Mei 22, 2022. Tamasha la Malta likipambwa na gwaride la majukwaa yaliyopambwa limefanyika kuanzia Ijumaa hadi Jumapili mwishoni mwa wiki. Tamasha hilo la Kitamaduni ambalo hapo awali lilipangwa kufanyika Mwezi Februari liliahirishwa hadi Mwezi Mei kwa sababu ya janga la UVIKO-19. (Picha na Jonathan Borg/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha