Matembezi kwenye Jumba la Makumbusho la Kasri la Ufalme la Hongkong: mabaki mengi ya kale yataoneshwa

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 13, 2022
Matembezi kwenye Jumba la Makumbusho la Kasri la Ufalme la Hongkong: mabaki mengi ya kale yataoneshwa
Juni 9, waandishi walitembelea kwenye Jumba la Makumbusho la Kasri la Ufalme la Hongkong ambalo liko Eneo la Utamaduni la Kowloon Magharibi huko Hongkong. Habari zilisema kuwa, mabaki 914 ya kale ya utamaduni yenye thamani kubwa kutoka Kasri la Ufalme la Beijing yataoneshwa kwenye maonesho ya ufunguzi wa Jumba la Makumbusho la Kasri la Ufalme la Hongkong Mwezi Julai. (Mpiga picha: Cui Nan/Chinanews)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha