

Lugha Nyingine
Watu wa Afghanistan warudi nyumbani baada ya tetemeko kubwa la ardhi wakiona nyumba zilizoharibiwa (2)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 24, 2022
![]() |
Juni 23 kwa saa za huko, watu wakitafuta mali zao kwenye nyumba zilizoharibiwa katika eneo linaloathiriwa na tetemeko la ardhi la Mkoa wa Paktika, Afghanistan. |
Habari zilisema kuwa , hadi sasa tetemeko hilo la ardhi limesababisha vifo vya watu zaidi ya elfu moja, wengine elfu kadhaa walijeruhiwa, na nyumba 10,000 hivi zilibomoka.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma