

Lugha Nyingine
“Mwezi mpevu mkubwa zaidi” wa mwaka huu waonekana mbinguni (3)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 14, 2022
Asubuhi mapema ya Julai 14, “mwezi mpevu mkubwa zaidi” wa mwaka huu ulionekana mbinguni. Huo ni mwezi mkubwa zaidi wa mwaka 2022. Picha hizi za mwezi zilipigwa kutoka sehemu mbalimbali nchini China.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma