Moto wa misituni waenea kwa kasi na kutishia wakazi wengi huko California, Marekani (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 13, 2022
Moto wa misituni waenea kwa kasi na kutishia wakazi wengi huko California, Marekani

Septemba 11 kwa saa za huko, Idara ya Misitu na Ulinzi wa Zimamoto ya California ilisema moto mpya wa misituni unaenea kwa kasi katika milima ya katikati mwa California. Maeneo mengi ya kaskazini na katikati mwa California yanaathiriwa na moto huo wa misituni, na idadi kubwa ya wakaazi wamepata amri ya kukimbia. Sababu ya moto huo bado inachunguzwa.

(Picha na CFP)

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha