

Lugha Nyingine
Serikali ya Ufaransa yatangaza mpango wa kubana matumizi ya nishati ili kukabiliana na msukosuko wa nishati
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Oktoba 08, 2022
Ili kukabiliana na msukosuko wa nishati unaozidi kuwa mbaya siku hadi siku, serikali ya Ufaransa ilianza kutekeleza mpango wa taifa wa kubana matumizi ya nishati Tarehe 6, ikitoa wito wa kuwataka watu wa nchi nzima wafanye juhudi ili kuepusha hatari ya kusitishwa kwa utoaji wa nishati wakati wa majira ya baridi.
(Shirika la Habari la China,Xinhua/Mpiga picha:Sebastian Kurgi )
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma