Tamasha la Kimataifa la Fashifashi lafanyika Seoul

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Oktoba 11, 2022
Tamasha la Kimataifa la Fashifashi lafanyika Seoul
Oktoba 8, Mwaka 2022 kwa saa za huko, Tamasha la Kimataifa la Fashifashi lilifanyika katika Mji wa Seoul, Korea Kusini. Fashifashi zilionyeshwa angani usiku, na kuleta hali ya kushangaza na kufurahisha watazamaji. (Picha na CFP)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha