Maonyesho ya Teknolojia ya Afrika kwa Mwaka 2022 yaanza mjini Cape Town, Afrika Kusini (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 10, 2022
Maonyesho ya Teknolojia ya Afrika kwa Mwaka 2022 yaanza mjini Cape Town, Afrika Kusini
Mtu akijaribu miwani ya Uhalisia Pepe kwenye Maonyesho ya Teknolojia ya Afrika mjini Cape Town, Afrika Kusini, Novemba 9, 2022. Maonyesho ya Teknolojia ya Afrika kwa Mwaka 2022 yameanza katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano mjini Cape Town, Afrika Kusini. (Picha na Xabiso Mkhabela/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha