

Lugha Nyingine
Wajumbe wa Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China watia saini ya kujiandikisha kwenye mahudhurio
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 03, 2023
Mikutano mikuu miwili ya Mwaka 2023 ya China, yaani Mkutano wa Bunge la Umma la China na Mkutano wa Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China inawadia. Tarehe 2, wajumbe wa Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China kutoka baadhi ya makundi wametia saini ya kujiandikisha kwenye mahudhurio kwa utaratibu chini ya uongozi wa wahudumu, na kujitayarisha kuhudhuria kwenye mkutano wa kwanza wa Baraza la 14 la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China utakaofunguliwa Tarehe 4, Machi.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma