Mandhari ya Ziwa Basum baada ya theluji kuanguka huko Nyingchi, Mkoa wa Tibet wa China (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 21, 2023
Mandhari ya Ziwa Basum baada ya theluji kuanguka huko Nyingchi, Mkoa wa Tibet wa China
Picha hii iliyopigwa Machi 19, 2023 ikionyesha mandhari ya Ziwa Basum baada ya theluji kuanguka katika Mji wa Nyingchi, Mkoa unaojiendesha wa Tibet, Kusini-Magharibi mwa China. (Xinhua/ Jiang Fan)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha