Njia ya reli moja ya kuning’inia yaanza kuendeshwa kwa majaribio katika Mji wa Wuhan, China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 12, 2023
Njia ya reli moja ya kuning’inia yaanza kuendeshwa kwa majaribio katika Mji wa Wuhan, China
Picha hii iliyopigwa Tarehe 9 Mei 2023 ikionyesha treni ikiendeshwa kwenye njia ya reli moja ya kuning’inia huko Wuhan, Mkoa wa Hubei Katikati mwa China. Njia ya reli moja ya kuning’inia katika Mji wa Wuhan imeanza kuendeshwa kwa majaribio. (Xinhua/Xiao Yijiu)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha