Katika Picha: Viongozi wa Nchi za Asia ya Kati wakihudhuria hafla ya kuwakaribisha katika Mji wa Xi’An, China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 19, 2023
Katika Picha: Viongozi wa Nchi za Asia ya Kati wakihudhuria hafla ya kuwakaribisha katika Mji wa Xi’An, China
Rais wa Kazakhstan Kassym-Jomart Tokayev akiwasili kwenye hafla ya kuwakaribisha viongozi wa Nchi za Asia ya Kati na wake zao wanaohudhuria Mkutano wa Viongozi Wakuu wa China na Nchi za Asia ya Kati katika Paradiso ya Tang huko Xi'an, Mkoa wa Shaanxi, Kaskazini Magharibi mwa China, Mei 18, 2023. (Xinhua/Xu Zijian)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha