Mashindano ya mbio za kutambaa kwa watoto yafanyika Vladivostok, Russia

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 10, 2023
Mashindano ya mbio za kutambaa kwa watoto yafanyika Vladivostok, Russia
Watoto wakishiriki kwenye mashindano ya mbio za kutambaa kwa watoto huko Vladivostok, Russia, Julai 8, 2023. Julai 8 ni Siku ya Familia, Upendo na Uaminifu nchini Russia. Mashindano ya mbio za kutambaa kwa watoto yamefanyika katika Mji wa Vladivostok Mashariki ya Mbali nchini Russia kusherehekea siku hiyo. (Picha na Guo Feizhou/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

Picha