Picha: Mandhari Nzuri ya eneo la msitu wa mawe wa Zecha huko Luqu, Kaskazini Magharibi mwa China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 11, 2023
Picha: Mandhari Nzuri ya eneo la msitu wa mawe wa Zecha huko Luqu, Kaskazini Magharibi mwa China
Picha hii iliyopigwa Julai 8, 2023 ikionyesha mandhari ya msitu wa mawe wa Zecha katika Wilaya ya Luqu iliyoko Eneo linalojiendesha la kabila la Watibet la Gannan, Mkoa wa Gansu, Kaskazini-Magharibi mwa China. Msitu wa mawe wa Zecha hujivunia mawe ya ajabu na spishi mbalimbali za wanyamapori. Mwaka 1998, eneo la msitu wa mawe la Zecha na Ziwa Gahai viliorodheshwa kwenye Hifadhi ya Taifa ya Mazingira ya Gahai-Zecha ya China. (Xinhua/Chen Bin)
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

Picha