

Lugha Nyingine
Sherehe za sikukuu ya kikabila "Liuyueliu" zafanyika huko Qiandongnan, Kusini Magharibi mwa China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 24, 2023
JIANHE - Sherehe ya kila mwaka ya tamasha la kikabila "Liuyueliu" inafanyika kuanzia Julai 22 hadi 25 katika Wilaya ya Jianhe iliyoko Eneo linalojiendesha la Makabila ya Wamiao na Wadong la Qiandongnan katika Mkoa wa Guizhou, Kusini-Magharibi mwa China.
Shughuli mbalimbali za kitamaduni zinafanyika wakati wa sherehe hizo zikivutia watu wengi kutazama na kusheherekea.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma