Picha: Alama kama mishipa kwenye kando ya Mto Huanghe huko Henan, China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 25, 2023
Picha: Alama kama mishipa kwenye kando ya Mto Huanghe huko Henan, China

Hivi karibuni, kutokana na kukamilika kwa uchepushaji wa maji na udhibiti wa mchanga kwenye Mto Huanghe, kiasi cha maji cha mto huo kimeshuka kwenye sehemu ya mradi hatari wa Heigangkou wa Mji wa Kaifeng wa Mkoa wa Henan wa China. Baada ya kusombwa na mtiririko wa maji, kando ya mto huo inaonesha alama kama mishipa ya kutiririsha damu mwilini. (Picha imechapishwa na Xinhua na kupigwa na Shi Fei.)

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha