Habari Picha: Watu wakitembelea Mlima Huashan katika Mkoa Shaanxi, Kaskazini Magharibi mwa China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Oktoba 20, 2023
Habari Picha: Watu wakitembelea Mlima Huashan katika Mkoa Shaanxi, Kaskazini Magharibi mwa China
Picha hii iliyopigwa kutoka angani Oktoba 19,2023 ikionyesha watu wakipanda kwa kutumia ngazi Mlima Huashan ulioko Mkoa wa Shaanxi, Kaskazini-Magharibi mwa China. (Picha na Zhang Lan/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha