Kutalii Hifadhi ya Taifa ya Nairobi nchini Kenya kupitia lenzi ya kamera

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Oktoba 23, 2023
Kutalii Hifadhi ya Taifa ya Nairobi nchini Kenya kupitia lenzi ya kamera
Picha hii iliyopigwa Oktoba 15, 2023, ikiwaonyesha nguruwe pori na swala wakiwa kwenye Hifadhi ya Taifa ya Wanyama ya Nairobi iliyoko Nairobi, Kenya. (Xinhua/Li Yahui)

NAIROBI – Hifadhi ya Taifa ya Nairobi, iliyoko umbali wa takriban kilomita 7 kutoka katikati mwa Nairobi, Mji Mkuu wa Kenya, ni makazi ya wanyamapori mbalimbali. Hifadhi hii iliyoanzishwa Mwaka 1946, ina spishi karibu 100 za wanyama mamalia na spishi zaidi ya 500 za ndege.

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha