Mkutano wa Kwanza wa Mawasiliano ya Sayansi na Teknolojia za Ujenzi wa Ukanda Mmoja, Njia Moja wafunguliwa Chongqing, China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 08, 2023
Mkutano wa Kwanza wa Mawasiliano ya Sayansi na Teknolojia za Ujenzi wa Ukanda Mmoja, Njia Moja wafunguliwa Chongqing, China
Picha hii iliyopigwa Novemba 6, 2023 ikionyesha ukumbi wa Mkutano wa Kwanza wa Mawasiliano ya Sayansi na Teknolojia za Ujenzi wa Ukanda Mmoja, Njia Moja unaofanyika katika mji wa Chongqing, Kusini-Magharibi mwa China. Ukiwa na Kaulimbiu isemayo “Fanya Uvumbuzi na Tafuta Maendeleo kwa Pamoja”. Mkutano wa Kwanza wa Mawasiliano ya Sayansi na Teknolojia za Ujenzi wa Ukanda Mmoja, Njia Moja umefunguliwa huko Chongqing, Kusini-Magharibi mwa China siku ya Jumatatu. (Xinhua/Wang Quanchao)
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha